Thread Reader
Haulay

Haulay
@Positivenga1

May 2, 2022
10 tweets
Twitter

Zaidi ya 80% au 90% ya investors wanaoinvest kwenye African Startups ni watu wa nje hasa WamareKani, moja ya kigezo chao kikubwa kwenye kampuni wanazotaka kuwekeza ni lazima nazo ziwe zimejisajili kama kampuni za Kimarekani kisha itajua yenyewe inataka kuoperate wapi.

Mr. Mapindi

Mr. Mapindi
@SaidiMbondela

Nipe elimu Boss,zipi ni faida za startup kujisajili nje ya Tz while serving Tanzanian Market? Je kuna hasara zozote katika hilo? Zipi?
investors wanataka kampuni yako main iwe na HQ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ kisha utaamua kuoperate Africa au popote kama branch ya kampuni uliyosajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ.Ukisajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ investor akupangii kuoperate au kuishi ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ndio maana kusajili kampuni ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ni online(nipo ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ,sijawahi fika ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ na nimesajili startup yangu๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ)
Y-Combinator - moja ya accelerator kubwa duniani nao moja ya kigezo chao ni uwe na HQ ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ, wakikuchagua halafu ulishajisajili Africa basi utaflip(utahamisha HQ zako from ulipojisajili To ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ), gharama za Kuflip huwa ni $5000+ ivyo unashauriwa kusajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ mapema kuepuka kuflip later
Startup kubwa za Nigeria unazoziona kama Flutterwave,Paystack, Chippercash na zingine tunaziita Nigerian Startups lakini usajili wao ni nje ya Africa,wengi ni ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ; hivyo ni kampuni za๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ambazo zinaoperate Afrika kama Branch.Hata Startup kubwa za ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ usajili wao ni nje ya Africa
Gharama za kujisajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ ni $500 kisha kujisajili kama branch ya nchi unayotaka kuoperate gharama zinatofautiana. Mfano; ukijisajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ kwa $500 ukija bongo brela wanacharge $1000+ kusajili kampuni yako ya nje kama branch hapa ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.
Wawekezaji wanadai lazima ujisajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ because; - Investment Thesis; moja ya kigezo chao cha uwekezaji ni kuwekeza kwenye kampuni za๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ - Unaepuka Double Taxation - Politics hazitaathiri sana business yako - Global Presence; ukiwa US company ni rahisi kuclose international deals
Ziko na sabau zinginezo but kwenye sekta ya Startup kusajili kampuni yako sehemu kama ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ kuna faida ya kuclose dili za mamilioni ya dola, hasara ni chache sana; mfano sometimes Local organization inaweza andaa grant program afu ikasema ni special for only ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ registered businesses
Most Global investors ukiwaambia haujajisajili ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ wanaweza poteza hata hamu ya kuongea na wewe, sometimes ni bora wakukute haujajisajili kabisa hata nchini kwako kuliko wakute tayari una HQ in your local country.
Ukitazama jambo hili kuhusu hoja za Uzalendo zile utaona haimake sense but ndio vigezo vilivyopo.Jambo hili linaweza kuja kubadilika siku African investors wakiweza kuwa sehemu ya big funders wa African Startups but for now no way,tunafuata masharti ya watoa $(Global investors)
Faida nyingine ni kwamba nchi za Afrika zinasifika kwa kuwatreat vyema foreign investors/companies, si unaona mama anavyozunguka kusaka invesors waje bongo! ivyo ukiwa Foreign company afu ukaingia bongo wenda serikali sometimes ikakujali zaidi kwa kuhisi unamichuzi $$๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Haulay

Haulay

@Positivenga1
Pre-Rich | Building https://t.co/gtFSTX8jLh ๐Ÿš€
Follow on Twitter
Missing some tweets in this thread? Or failed to load images or videos? You can try to .